CLEVER WEB TZ

Breaking News
Loading…

Pages

TANGAZA NASI

TANGAZA NASI
ENEZA BIASHARA YAKO

Friday, January 31, 2020

DEREVA TOYO 13

Dereva toyo Mtunzi:Richard Yassin Sehemu ya 13 Na kunipaisha katika maisha.Nilimuondoa hofu kuwa ushauri wake ungefanyiwa kazi kwa hiyo asiwe na wasiwasi kuhusiana na mimi.Hivyo mara baada ya kukata simu hiyo ghafla nilisikia hodi ikigongwa mlangoni kwangu.Nilikwenda kufungua mlango ila cha ajabu nilishangaa kumuona tena ma Abasi."Mama unataka nini tena kwangu?Si unajua majirani zetu."Nilimhoji mama huyo ila hakunijibu zaidi ya kunisukuma na kuingia ndani chumbani.Sikuwa na suala jingine la kufanya zaidi ya kuchungulia nje kuona kama kuna jirani aliyekuwa akichungulia na nilipoona kweupe niliingia ndani na kufunga mlango barabara. "Sasa ndugu yangu huogopi wenzako wakikuona alafu kumbuka wewe ni mke wa mtu."Nilimhoji mama huyo ambaye alinitazama kwa jicho kali. "Kwa hiyo hunitaki au nisemeje?Mimi ndo nishapenda kwani siwezi vumilia kuwa na mtu ambaye yuko mbali.Yule atabaki kuwa mume kwa jina ila wewe ni mume kwa vitendo.Maana mimi ni binadamu na nina hisia.Nahitaji kupata faraja kama wanazopata wanawake wengine.Na siwezi kukaa kama gogo tu nikimngoja." Kauli hiyo ilinifanya nizidi kuchanganyikiwa na kujihoji mwenyewe akilini mwangu." Huyu mama ameonja asali na anataka kuchonga mzinga.Na je nitafanyaje dhidi ya mtego huu wa wake za watu?Ukizingatia Angel ameolewa na niko naye kimapenzi naye anamlalamikia mumewe.Ma Abasi naye ndo vilevile.Ila ngoja nikomaze akili kwani uwepo wa majaribu haya ni kukomaa kwa akili.Potelea mbali nitayaweza." Nilimuonyesha ishara ya kuja kitandani ili niweze kumpa mambo aliyoyahitaji.Naye bila hiyana alikuja.Nilimuangalia nimuanze ki vp kwani nilishtukiziwa kufanya jambo ambalo sikuwa nimelipanga.Ila kama waswahili wanavyosema mwanaume mashine.Nilimvuta karibu na.....Itaendelea!!!

0 comments:

Post a Comment

comment

PAKUA APP YETU

Kwa wale wapenzi wa Mziki Mzuri,filamu nzuri na Hadithi nzuri kutoka kwa waandishi mbalimbali, blog yetu ya Burudani, Tunapenda Kuwataarifu kuwa:

> Kama Hautumii App Basi tunakuomba PAKUA APP YETU MPYA HAPA Ili uweze Kupakua Nyimbo Mpya kirahisi
> Pia Utapata Taarifa kila wimbo Mpya unapotufikia.

PAKUA APP YETU MPYA HAPA
BONYEZA HAPA>http://www.mediafire.com/file/qtoi8pn4bj4dqct/Cleverwebtz.apk/file

Official android App for www.cleverwebtz.blogspot.com

This application is developed with the following key features:
• Listening Music online with latest collection of tracks
• Download Music for listening offline
• Read story from different author
•watch movies online and download
• Listen to Music and do other things with a convenient way with playing background modes, customizable through the Notification bar (notification).

PAKUA APP YETU MPYA HAPA
BONYEZA HAPA>http://www.mediafire.com/file/qtoi8pn4bj4dqct/Cleverwebtz.apk/file

Last Updates

DEREVA TOYO 14