CLEVER WEB TZ

Breaking News
Loading…

Pages

TANGAZA NASI

TANGAZA NASI
ENEZA BIASHARA YAKO

Tuesday, December 24, 2019

DEREVA TOYO 07

Dereva toyo Mtunzi:Richard Yassin Sehemu ya 7 Kwa muda ili nisimpe nafasi ya kuchora hogo langu. "Vp uko sawa kweli maana nilijua unakuja kunilaki na kunikumbatia."Ilikuwa ni sauti ya ma Abasi. Mama sitaweza maana nakuheshimu kama mama yangu.Sihitaji nikuvunjie heshima.Mumeo namfahamu vyema na tunaheshimiana je akisikia tumefanya haya unadhani atanichukuliaje?" Kauli ile ilimchukiza sana mama huyo kwani kilichofuata ni mafumbo."Hivi wewe kijana umewekewa sukari hadi mdomoni unataka usaidiwe hadi kuilamba?Funguka uwe mtu mzima.Na kaa ukitambua kuwa Fimbo ya mbali haiui nyoka kwani yeye yuko mbali nami na akija hawezi jua chochote.Na ahidi kuitunza siri hii hadi kufa kwangu." Nilishusha pumzi mara baada ya kuisikia kauli nzito ya mama huyu.Ila niliwaza na kuwazua je niende uwanjani au niuache ila kama unavyojua sisi wanaume tunachohitaji ni heshima.Hivyo nikajipa moyo konde na kuamua kumfurahisha."Haya funga mlango na uje."Kauli hiyo ilimfanya mama huyu afurahi sana kwani kwa ghafla alinivamia na kunibusu mdomoni huku akinipapasa katika kiuno changu ili aweze kuisaula suruali yangu. Jambo ambalo alifanikiwa na kuniacha mtupu.Nami nikaamua ni mpe ukuni aliouhitaji sana.Nilimgeuza mfano wa samaki akiparamiwa maganda kwa kumlaza ubavu ili hali miguu yake nikinyanyua kama mbuzi nami nikaingia kati kati ya mapaja yake.Na taratibu nikasukuma hogo katika shimo."Mmmmh tamu chomeka yoteeee."Mama huyu alishindwa kuzuia sauti yake kutokana na utamu.Ute ute uliokatika shimo hilo ulinifanya niteleze vyema.Nami nilizamisha na kutoa kwa kasi ya ajabu na kutokana na ashiki aliyo nayo alifika kileleni mapema kabla yangu nami niligundua kwani alipaza sauti kwa nguvu huku akijishika katika kuta za ikulu yake.Kwangu mimi ilinipa wasaa wa kuweza kumiliki vyema.Mana kama alikuwa hoi katika raundi ya kwanza raundi ya pili asingenitawala. Nami nilimnyanyua mithili ya mtu anavyombeba mtoto huku mapaja yake nikiyazungusha katika kiuno changu.Hapo ndipo nilipomfaidi kwani mchomo ulikuwa si wa kitoto ulipenya hadi kunako na siyo siri niliongeza ufundi wa kumrusha rusha juu chini na huku nikiyameza manido yake makubwa yaliyokuja moja kwa moja hadi mdomoni mwangu.Haikupita hata.dakika 10 mwanamama huyu alifika tena kileleni kwa raundi nyingine ili hali mimi nikiwa bado nahangaika ku......Itaendelea!!!!

DEREVA TOYO 06

Dereva toyo Mtunzi:Richard Yassin Sehemu ya 6 Nikitokea Same."Kauli yake iliibua furaha kwani niliona nimejaliwa sana kitendo cha yeye kunitafuta suala ambalo lilitusogeza zaidi na kuongeza chachu ya ushindi wa mahaba. Tuliongea mengi ila kikubwa ilikuwa ni kukumbushiana matukio ya ndani ya basi.Na kisha tuliagana na yeye kukata simu.Punde niliitwa na ma Abasi nje nami sikukataa wito ilinilazimu kwenda kusikiliza."Najua umechoka ila naomba ukanisaidie kuweka taa ya chumbani mana punde giza litaingia na mimi ni muoga.Siyo siri mapigo ya moyo yaliongezeka kwani mazingira yake yalinipa kigugumizi.Sikutaka nionyeshe dalili ya kukataa ila nilijipa moyo konde kuwa liwalo na liwe.Nilimuomba mama huyo anipe dakika chache za kujiandaa walau nivae shati mana nisingeweza ingia ndani kwake kifua wazi. Nilingia chumbani kwangu nikavaa shati na kisha kwenda hadi chumbani chake.Mh leo nikitoka humu salama nikushukuru Mungu maana mazingira yake sikuyaelewa kwani chumba kilinukia manukato.Na mara nilipogeuka pembeni nilishangaa kuona amevaa kanga moja."Usiogope karibu sana taa yenyewe ndo hii." Mama yule alinyanyuka kitandani na kunipatia taa hiyo nami niliipokea kisha nikapanda juu huku nikimuamuru ashikilie stuli. Sikujua kama kitendo kile kingempa nafasi ya kufanya kituko kwa kuangusha kanga yake na kubaki mtupu.Ila nilijikaza kwani nilikuwa juu ya stuli na laiti kama ningeendekeza tamaa ya kumuangulia yeye ningeshakua kilema kwa kuanguka chini.Hivyo niliona ni vyema niweke taa na kisha kushuka chini huku nikimuamuru akawashe tuone kama tatizo limeisha au lah? Mama huyu alikuwa ni fundi kwani aliweza kuzungusha nyonga yake vyema na kuacha msambwanda wake ukienda Singida Dodoma. Safari hali ilikuwa mbaya kwangu kwani alipogeuka tu sikuamini kwa umri ule angekuwa vile.Kwani kitumbua chake kilichojaa nyama kilinyolewa vizuri na kuacha shamba likiwa safi haswa.Vile vile mapaja yake yalijaa vyema na hivyo kukifanya kitumbua hiko kitengeneza herufi V.Mate yalianza kunidondoka ila nilikuwa nawaza je nitaanzaje kumfanya anikubalie kunipa utamu.Na safari hii suruali yangu haikuongopa ilituna balaa hadi ikanilazimu nikae kitandani kwa muda ili ni......Itaendelea!!!

Friday, December 20, 2019

TYPHIN 04


TYPHIN 04
‘Hadithi ya kale, inayoishi’
HUSSEIN O. MOLITO
0718 97 56 59/ 0765 68 4870
“Kwa umuhimu wa hizi tafiti, siwezi kughaiiri mke wangu.”
“Basi jibu jepesi, tunaenda wote.”
Mke wa Mtafiti akaongea hayo na kumfanya Mr. Gibson kukosa pakutokea.
Wakarudi kwenye meza ya utafiti na kumuachia Samira majukumu ya Maabara hayo na wao wakaanza safari.
Safari ambayo imeleta madhara makubwa. Mr Gibson akasaidiwa akiwa taabani huku mke wake kipenzi akipotelea majini.
*******************
Inspekta Salim akakuna kichwa baada ya kuelezewa habari za msichana huyo anayefanya vitu vya ajabu mtaani tofauti kabisa na binaadamu wa kawaida. Alimuangalia Samira kwa sekunde kadhaa, kisha akanyanyuka.
“Naomba namba yako ya simu, nkihitaji kufahamu vitu vingine nitakutafuta. Ila kwa sasa nakuacha huru uendelee na ratiba zako.” Inspekta Salim akampatia Samira simu yake.
Baada ya Samira kuandika namba, Inspekta Salim akaihifadhi kwenye kitabu cha simu yake na kumruhusu Samira atoke.
Muda huo huo ile familia iliyokumbana na nguvu za kiumbe huyo, ikafika kituo cha polisi kuripoti.
“Kuna kiumbe ambaye si binaadamu wa kawaida, amesababisha uharibifu kwenye gari yetu.” Kijana huyo akafungua maelezo wakati Samira akikabidhiwa vitu vyake.
“Hebu ipange vizuri sentensi yako, maana utanichanganya wakati wa kuchukua maelezo yako. Huyo kiumbe aliyewashambulia, ni jinsia gani?” Askari akauliza na kuwatazama watu hao machoni.
“Ni msichana, tena anaonekana ni binti mdogo tu. Ana macho yanang’aa kama yapaka. Amevaa baibui lina urembo wa maua maua kwenye kifua.”
Kwa maelezo hayo tu, Samira akagundua kua watu hao walikua wakimzunguzia binti aliyesababisha kukamatwa kwake. Sasa akatega sikio ili aweze kujua amewafanya nini watu hao.
“ilikuaje mpaka akawasababishia ajali?” Askari akauliza tena huku akichukua faili la kesi kwa ajili ya kunakili hayo maelezo.
“Alikua anavuka barabara eneo ambalo halina kivuko. Nikapiga breki, ila gari ikasota kidogo kwakua nilikua spidi sitini. Chakushangaza binti huyo licha ya gari kumgusa, hakutikisika hata kidogo, aliniangalia tu kisha akaondoka. Ndipo tulipoenda kutazama gari yetu. Kama unavyoiona pale, ngao na bodi vyote vimebonyea. Utafikiri tumegonga mti.”
Maelezo hayo yalitosha kabisa kumfahamisha Samira kuwa yule msichana aliyemsaidia hakua binnaadamu. Hakutaka kuendelea kusikiliza. Akaamua kuondoka baada ya kuhakikisha vitu vyake vyote vipo sawa.
Akatoka nje na kuonana na dada yake, wakakumbatiana kwa furaha.
“kimekukumba kipi mdogo wangu?” Rabia akauliza.
“Twende nyumbani, hapa si pahala pazuri pakukaa.” Samira akaongea hayo na dada yake akaongoza kuelekea kwenye gari yake alipoegesha.
Walipokua njiani, simu ya Rabia ikaita na jina kwenye kioo cha simu likasomeka mama.
Wakaangaliana na kuamua kupokea.
“Asalaam aleykum.” Rabia akasalimia baada ya mawimbi ya sauti kuwaruhusu kuwasiliana.
“Aleykum salaam, ndo tunashuka hapa uwanja wa ndege, niambie mpo kituo gani ili tukodi gari mpaka huko?” Mama akaongea na kumfanya Rabia amuangalie mdogo wake.
“Njooni tu nyumbani kwa Samira, maana ameshaachiwa.” Rabia akaongea maneno hayo na kumfanya mama yake kushusha pumzi.
“Hebu mpe simu.” mama akaongea ili apate kuhakikisha.
Rabia akamkabidhi simu Samira.
“Binti yangu, pole kwa madhila ya Dunia.” mama akaongea kwa huruma baada ya kuhisi tu kuwa Samira ameshachukua simu.
“Nimeshapoa mama, kama mmekuja ni vyema tu mje kwangu. Haina haja ya kuongea mengi kwenye simu.” Samira akaongea na kumkatisha mama yake. Maana alifahamu kinachofuata hapo ni maswali mfululizo.
“Sawa Binti yangu, tunakuja.” mama yao akaridhika na kukata simu.
Rabia akamuangalia Samira na kutabasamu.
“katika watu wanaompatia mama yetu, ni wewe. Bi Mariam kwa kuongea tu, Alhamdulillah. Yaani ingelikua mimi hapa, hata nisingeweza kukwepa kuulizwa maswali yake.” Rabia akaongea hayo na kumfanya mdogo wake acheke.
“Mama anajua kua sipendi kuongea sana, napenda mtu adadavue shida yake kiufupi. Mambo ya kuonga na simu wee… hata sifagilii.” Samira akaongea hayo na kumfanya dada yake atabasamu tu.
Wakafika nyumbani na kutulia sebuleni. Nusu saa baadaye, wazazi wao wakafika na kuwapokea kwa furaha.
Wakumbatiana na kilichofuata hapo ni kuwasimulia mkasa mzima.
“Mungu mkubwa jamani. Huyo msichana siyo binadamu, naomba kuanzia leo hii, acha kuwakaribisha watu usiowafahamu. Ungeuliwa binti yangu endapo angehitaji kufanya hivyo.” Mama akaongea baada ya kuhadithiwa mkasa wa binti wa ajabu aliyekaribishwa na mtoto wake mpaka ndani.
“Ndo hivyo, Inspekta amechukua namba yangu kwa minajili ya kuwasaidia chochote pindi watakapokwama.” Samira akaongea na kulala kwenye mapaja ya mama yake.
“Kwahiyo binti yangu unapewa kazi ya upelelezi bila malipo.” baba aliyekua kimya muda wote, akaongea maneno yaliyofanya familia nzima iangue kicheko.
*********
Safari ya Mtafiti Gibson na mke wake Jada katika kuelekea baharini, ilianza kuingia doa toka hawajaianza safari hiyo.
Chombo kilisumbua kuwaka kwa muda mrefu na kuwafanya washangae. Maana ilichekiwa siku moja kabla. Kila kitu kilikua kipo sawa na hawakukitembeza chombo hicho baharini.
Baada ya kuhangaika kwa muda mrefu, ndipo chombo kilipowaka na wapendanao hao wakaanza safari.
Yaliwachukua msaa manne kwenye maji kufikia kwenye kina cha maji walichohitaji kufanya uchunguzi. Hapo wakasimamisha boti yao na kuchukua Vifaa mbalimbali vya kuoglelea na silaha pindi watakapokutana na dhoruba yoyote.
“Mke wangu itabidi ushike hii rada. Hizi rangi zina tafsiri kama utumiavyo barabarani. Ukiona kijani ujue nipo salama, ila ukiona nyekundu. Basi Piga bastola hii yenye baruti ya rangi juu kuomba msaada. Kwa hali yoyote ile,Tafadhali mke wangu, nakuomba usiingie kwenye maji.” Mtafiti Gibson akaongea hayo na kumkabidhi mke wake kifaa hicho.
“Subiri kwanza, kwanini hutaki niingie kwenye maji wakati mimi ni muogeleaji mzuri ?” Jada akauliza.
“Mke wangu, si kila kitu kinahitaji ubishi… unahitajika kuwa msikilizaji na kuamini ninapokuambia kua kuna kiumbe wa ajabu ameivamia bahari yetu. Na si samaki.” Mtafiti Gibson akaongea hayo na kumtazamamke wake usoni. Unyonge wake uliashiria kuridhika kishingo upande matakwa ya mume wake. Mr Gibson akamsogelea mke wake na kumkumbatia.
“Basi tumuite Junkle aje atusaidie, maana nina hofu ya kukupoteza mume wangu iwapo utakutana na viumbe vyenye nguvu kukushinda.” Jada akaongea na kumfaya Mtafiti Gibson amlaze mke wake kifuani.
“Usiwe na wasiwasi pindi Mtafiti Gibson akishindwa kupambana nao, maana hakuna kitu kitakachoshindikana pindi mume wako anapovaa cheo chake cha Agent Zero. Kiumbe chochote kitakachouinga huu mziki, Kitakufa.” Mr. Gibson akaongea hayo na kumtoa mke wake kifuani.
Kengele ya saa yake ya mkononi ikalia na kumfanya Mtafiti Gibson ashtuke sana. Maana saa yake iliweza kumuonesha vitu mbalimbali walivovitega kwenye maji.
“Kuna viumbe wengi wanakuja kwa kasi kutokea chini. Wapo usiwa wa boti yetu. Bila shaka wanakuja kutushambulia.” Mtafiti Gibson akaongea na kumuangalia mke wake aliyezidi kuingiwa na hofu.
“Sasa tunafanyaje mume wangu.” Jada akauliza huku akishika kichwa chake kama ishara ya kuchanganyikiwa.
“Nawamudu, acha nikapambane nao na kuchukua vipimo vyao vya damu. Nadhani itakua ni jamii ya viumbe vikorofi sana vya huku majini.”
Mtafiti Gibson akaongea hayo na kujitupa baharini.
Jada alikua akitetemeka huku macho yote yakiwa kwenye kifaa alichopewa. Kwa muda mrefu kifaa hicho kilisoma rangi ya kijani kuashiria kua mtafiti Gibson alikua salama.
Mara ghafla kifaa hicho kikaanza kupiga kelele na kubadilika rangu na kuwa nyekundu.
Jada akachanganyikiwa, akaichukua bastola iliyokua na fataki nyekundu na kupiga juu.
Hakukumbuka onyo alilopewa na mume wake juu ya tahadhari ya kutoingia majini, ila alihisi mue wake kwa muda huo alihitaji msaada wa haraka zaidi ya kuita boti zingine kutokea mbali.
Naye akavaa mtungi wa gesi na kuingia kwenye maji.
Alipata hofu kubwa baada ya kuona damu nyingi chini ya maji huku asimuone mume wake wala hao viumbe alivyokua akipambana navyo.
Baada ya kusogea zaidi chini ya maji, ndipo alipofanikiwa kuona viumbe wa ajabu wakipambana na Mtafiti Gibson.
Tukio la mke wake kuingia kwenye maji, likamfanya mtafiti Gibson ajaribu kumpa ishara atoke, ila kwenye maji ikawa ngumu ishara hizo kuonekana.
Wale viumbe wengine walipomuona Jada, wakamuacha Mtafiti Gibson aliyekua akiwajeruhi kwa silaha zake kali na kumfuata Jada ambaye silaha aliyoibeba haikua na uwezo wa kuwashinda viumbe hao waliokua na umbo la binaadamu lakini wenye mikia ya samaki.
Kucha ndefu, imara na uwezo wao wa kupambana wawapo kwenye maji, uliwafanya waupoteze uhai wa mke wa Mtafiti kwa sekunde chache tu.
Mtafiti Gibson akapata mtanziko wa nafsi baada ya kushuhdia tukio hilo. Maana yeye alikua na uwezo wa ziada zaidi ya binaadamu wa kawaida, hivyo aliweza kuwakabili viumbe hao na kile alichokihitaji kutoka kwao alishakipata. Kupigwa butwaa kwake baada ya kushuhudia mke wake akiraruriwa kwa makucha makali, kulimfanya apoteze nguvu ya kupambana na yeye kuanza kushambuliwa na viumbe hao wenye hasira.
Wengine walienda usawa wa boti na kuanza kuishambulia boti yao. Wakafanikiwa kuitoboa na boti hiyo ikaanza kuingiza maji.
Kengele ya saa ya Mtafiti Gibson ikalia kwa nguvu. Viumbe hao baada ya kusikia mlio huo, wakapiga kelele sana. Wakakimba na kupotea kwenye uso wa mtafiti Gibson.
Ghafla mfumo wa upumuaji kwa Mtafiti ukaanza kuwa mdogo. Alipoangalia mtungi wake wa hewa, ulikua umeshambuliwa kiasi cha kutokua msaada tena kwake.
Alizamia mita nyingi sana majini, bila tochi kubwa aliyovaa kichwani, ingelikua shida kuona chochote kwa umbali aliopo.
Aliogelea kwa spidi kubwa ili ajaribu kuokoa maisha yake. Maana kwa uwezo wa binaadamu wa kawaida, ni ngumu sana kuzuia pumzi zaidi ya dakika kumi uwapo kwenye maji.
Wakati huo msaada ulishafika na ndo walikua kwenye uchunguzi. Hata hivyo hawakufanikiwa kuona chochote kwakua mtafiti alikua mbali akipigania uhai wake.
Pumzi zilimshida mara kadhaa na kuruhusu kuingia mdomoni.
Mbali na uchovu, maumivu makali ya kushambuliwa na samaki hao wenye umbile la watu, akafanikiwa kufika juu akiwa hoi.
Akatamka neno moja tu, tena hakulimaliza. Akapoteza fahamu na kuanza kuzama tena.
Ikawa bahati, sauti yake ikasikiwa na askari wa kwenye maji na kuokolewa.
********
Jengo la Maabara lilikua tulivu, halina mtu yeyote ndani yake. Dokta Miley akaingia na kujifungia.
Akachuka ile sindano iliyokua na tafiti za Mr. Gibson na kuanza kuzichunguza.
Baada ya kuminya kimiminika hicho kwenye Test tube, akachukua kioo kidogo na kusambaza kimiminika hicho na kukiweka kwenye Microscope na kuanza kukichunguza.
Ilikua ni ajabu kutokea, maana kitu kilichomsomea kwenye mtambo huo hakuwahi kukutana nacho kabla.
“Anahitajika mtaalamu zaidi yangu ili aweze kusoma hivi vitu. Maana ni vigeni kwangu.” Doctor Miley akaongea baada ya kuambulia patupu.
Akachukua simu yake na kuandika namba kadhaa, kisha akapiga.
“Kaka, unaweza kuja Maabara maramoja?.” Dokta Miley akaongea baada ya siku yake kupokelewa.
“kuna nini ndugu yangu? maana najua huishiwi mipango.” Ikasikisa sauti upande wa pili.
“Nadhani ukiweza kutambuka ni kipi kimejificha kwenye tafiti zangu nilizonazo hapa Maabara, na sisi tutakua maarufu kama si matajiri wakubwa wa kuitikisa Afrika.” Dokta Miley akaongea maneno hayo na kumtia mshawasha mwenzake.
“Weeeh! Umegundua dawa ya kansa nini?” mwenzake akauliza kwa utani.
“We njoo… majibu yote utayapata huku.” Dokta Miley akaongea hayo na kukata simu. Akajikuta anatabasamu bila kujua kama mwenzake ataweza kumsomea ama naye atachemka kama yeye.
Haya! Dokta Miley ashaanza kujimilikisha zile tafiti za Mr. Gibson kabla muhusika hajafa. Hawafahamu kua hicho wanachokichunguza hakitoki kwa samaki wa kawaida. Bali na wale samaki wanye maumbile ya binaadamu kuanzia kiunoni kwenda juu.
Kipi Kitaendelea kwenye kigongo hiki? Ukumbuke ni TYPHIN, hadithi ya kale inayoishi!
Usisahau ku subscribe channel yangu youtube pindi utakapopitia hadithi hii inayopatikana huko kwa njia ya sauti.
kipindi cha NGOJA NICHEKE kinaruka kila ijumaa huko Youtube. Jina la account , Molito Brand
link ya kukupeleka Youtube ni hii chini!

DEREVA TOYO 05


Dereva toyo Mtunzi:Richard Yassin Sehemu ya 5 Ingawa hatukuwa tumezoeana kwa muda mrefu.Taswira ya umbo lake ilinijia katika akili yangu nilianza kuona kana kwamba mrembo huyu amekuja katika kitanda changu na kuanza kunishika shika katika kifua changu.Nami kwa mbwembwe nilianza kushika pande zote za mwili wake na ghafla nilipochomeka ukuni wangu katika ikulu yake nilijikuta nawahi kufika kileleni na hata nilipozinduka nilikwisha kuharibu shuka nililolitandika kitandani mwangu kwa kumwaga manii yangu.Siyo siri nilipandwa na hasira kwani nililazimika kufanya udobi ambao siku utarajia. "Hivi leo nitaelewekaje kufika na kufika tu naanza na udobi na wakati nguo zangu si chafu?"Nilijikuta na ropoka na kujawa na wasiwasi mwingi kwani sikuwa na mazoea ya kufua fua.Ila nilijipa moyo konde na kwa hasira nikashika kindoo cha maji na dekio na kuingia ndani kudeki. Nilipomaliza nilitoa furushi la nguo pamoja na mashuka ingawa mashuka ndiyo niliyoyatanguliza katika maji ili kuua soo na hata kama ningerudisha nguo zingine mashuka yangekuwa yashafuliwa. Ma Abasi aliponiona alinicheka na kunidhihaki"Kweli maisha ya shamba yamekunyoosha leo hii umekuwa kijana msafi unayefua nguo zako mwenyewe.Hongera kwani ni vijana wachache wanaobadilika wakishaenda shamba.Wengi hupotea huko kutokana na sifa za mjini."Mama huyo alipomaliza kuongea hayo aliingia ndani na kuniacha nikitafakari kauli yake.Ila sikutaka niwaze sana kwani ile azma yangu ingepotea na kwa nguvu za ajabu niliingia katika udobi na kufua nguo zote na kuzianika.Na mara baada ya kumaliza nguo kufua zangu,niliingia ndani na kujitupa kitandani.Haikupita hata dakika 10 simu yangu iliita na nilishtuka kuona namba ngeni.Ila nilijikaza roho na kuipokea"Haloo za muda.Najua utakuwa unajiuliza kuwa mimi ni nani.Ila.usijali mimi ni yule dada tuliyekuwa tumekaa wote katika siti moja ndani ya basi nikitokea.....Itaendelea!!!!

DEREVA TOYO 04

Dereva toyo Mtunzi:Richard Yassin Sehemu ya 4 Ambako nilichukua bajaji hadi Mawasiliano na kupanda gari za kwenda Gongo la Mboto katika makazi yangu ya awali.Ujio wangu uliwashangaza wengi kwani wengi wao mara baada ya kupata kazi mkoani Kilimanjaro,walijua kuwa maisha ya Dar es Salaam yalishanishinda hivyo kujua ya kwamba sitarudi tena. "Karibu sana mwanampotevu maana tulijua kuwa hautarudi tena jijini."Ilikuwa ni sauti ya Ma Abasi aliyekuwa akinikaribisha huku akinipokea mizigo yangu.Kutokana na uchovu nilijitupa kama gogo katika kiti ili niweze kupumzika. Siyo siri kwani mama huyu alijua hitaji langu lilikuwa ni lipi kwani nililetewa chakula ili nipoze njaa.Na kwa muda huo nilikula na kushiba.Na mara baada ya kushiba nilshukuru na kisha kwenda katika chumba changu ili niweze kupumzika.Ila nilipojitupa kitandani mawazo yangu yalikuwa juu ya yule mrembo tuliyekaa wote katika basi nilianza kum miss ingawa hatukuwa tume.....Itaendelea!!!

Saturday, December 14, 2019

SHABAHA MOJA (UKATILI USIO SAHAULIKA) 04


Stori: Shabaha moja (Ukatili usio sahaulika)
Mtunzi: ABiClever Junior
Sehemu: 04

Tulipoishia>>Jesi akasema "sawa" kisha akaelekea kwenye ngazi ndogo ya kuingia ndani na akakaa kwenye ngazi hiyo na kushika kichwa huku akiwa ameinamisha kichwa chake chini.
Inaendelea>> Gari ya wagonjwa iliyokuwa imebeba askari wawili waliofariki na mmoja aliyejeruhiwa iliwasili hospital haraka maiti zilipokelewa na wahusika na aliyejeruhiwa pia alipokelewa na wahusika.
*****TUKIRUDI UPANDE WA RAMSO*************
Ramso alichukuliwa na kupakizwa kwenye Gari ya wagonjwa na haraka kuwahishwa hospitali.
"aisee yule ni afande Ramso au ni macho yangu?"kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Stanley alikuwa akimuuliza Rafiki yake Jacob aliyekuwa naye pembeni kidogo na Tukio.
"Ndio mwenyewe yule mwana"alijibu Jacob kwa tabasamu la juu zaidi,
"hahahaha jamaa leo kapatikana"aliongea Stanley kwa kicheko.
***********HOSPITALI***************
"afande Benson inabidi wewe ubaki hapa na uwe mwangalifu kumuangalia afande Nikolas maana afande Ramso alinipigia simu na kuniambia kuwa ameona pikipiki tatu zikiwa zinatufatilia"aliongea mkuu wa kituo anachofanya kazi Ramso kumwambia afande benson.
"sawa mkubwa"alijibu afande benson kwa Heshma.
Mkubwa wa kituo(Samson)anachofanya kazi Ramso alitoka nje ya hospitali na muda si mrefu dereva wake alikuja kumchua na Gari aina ya Land Rover aliingia ndani ya Gari na kuondoka.
Wafuasi wa MonNyeusi hawakuwa mbali moja kwa moja na wao waliingia ndani ya Hospitali hiyo na kuanza kumsaka sebastian wakiwa na uhakika sebestian nayeye atakuwa kwenye Hospital hiyo.
"oya mnamuona yule askari pale mlangoni?"aliongea madkick kuwauliza wenzake.
"ndio tunamuona"walijibu kwa pamoja madboy na madlion.
"inabidi tumtaitishe yule askari ili atuambie sebastian yuko wapi?"aliongea madkick.
"sawa"wenzake walijibu.
Wakati wanataka kumfuata yule askari walisikia vishindo vya watu wanakuja mkukumkuku ikabidi wageukie ukutani ili kujificha.
Hapo alipitishwa Ramso kwa speed ili kwenda kufanyiwa matibabu.
"huyu ndio yule askar tulie mpiga risasi au siye?"aliuliza madboy.
"acha maswali Tufanye kilichotuleta"aliongea madkick.
Waliamua kujifanya kama wanaondoka kisha wakapita karibu na afande Benson na kumuekea bunduki ya tumbo "tulia kama ulivyo shida yetu sisi ni kujua wapi alipo sebastian"aliongea madlion kumsihi afande benson.
"kusema kweli hiyo ni siri ata mimi sikuambiwa alipopelekwa sebastian.
******NYUMBANI KWA MKUBWA WA KITUO********
"mke wangu usiku kucha sikulala kwa ajili ya tukio la jana"aliongea samson(mkuu wa Kituo)
"pole mume wangu"mke wa samson anayeitwa sara alimjibu mumewe.
Ghafla simu ya samson ikaita "haloo"samson aliongea baada ya kupokea.
"afande Ramso hali yake sio nzuri ameletwa sasa hivi hapa hospital inaoneka ameshambuliwa Risasi nyingi sana"aliongea Dokta Smith kumjulisha Samson kuhusu kilichomkuta Ramso.
********NYUMBANI KWA RAMSO************
Jesi aliamua kumtwangia simu Ramso.
"pokea basi simu ramso pokea pliiz"aliongea maneno hayo baada ya kuona simu aliyopiga haipokelewi.
***************HOSPITALI***********************
Dokta mmoja ambaye alikuwa na simu ya Ramso alipokea "haloo"
Jesi: samahani nataka kuongea na Ramso
dokta:wewe ni Nani yake
Jesi: mimi ni mdogo wake
Dokta: sawa ila Ramso hali yake mbaya na sasa yupo chumba cha Operesheni.
"acha kututania nadhani hutufahamu vizuri" aliongea mad lion kumtisha Benson huku akindingisha pua moja.
Madkick aliweka silencer kwenye bunduki yake na kupiga moja kwenye mguu wa Benson.
"hasssh hashh"
Hapo benson hakuwa na ubishi aliwaelekeza alipo sebastian.
Madkick hakupoteza muda akamuua kabisa Benson na kisha wakaondoka.
******NYUMBANI KWA RAMSO**************
Jesi alipoteza fahamu Baada ya taarifa alizozipata...
Itaendelea....................
                                   

SHABAHA MOJA (UKATILI USIO SAHAULIKA) 03

Stori: Shabaha moja(One Target)
Mtunzi: ABiClever Yohlo
Sehemu:03
Tulipoishia>>haraka haraka wafuasi watatu wa MonNyeusi na silaha zao walipanda pikipiki zao na kuelekea kumtafuta sebastian.
Inaendelea>> "shit" alisema hivyo Ramso baada tu ya kuingia ndani ya kituo na kukuta miili ya askar wenzake ikibebwa na madakari kwaajili ya kwenda kufanyiwa uchunguzi lakin kati ya askar hao walio shambuliwa mmoja kati yao alikuwa bado yuko Hai na huyo pia alibebwa kwa ajili ya kwenda kupewa matibabu Ramso alibaki na mawazo.
"unadhani sebastian atakuwa hospital gani?"aliuliza mfuasi mmoja wa MonNyeusi aliyekuwa akiitwa Mad Lion Wakiwa mita kadhaa kutoka kwenye eneo la kituo.
"siumeona ile miili inapakiwa kwenye lile Gari la wagonjwa?"aliuliza Mad Kick nae pia ni mfuasi wa monNyeusi.
"Ndio nimeona"alijibu mad lion.
"basi tusubiri lile gari liondoke na Tuifuatilie inapo enda nina uhakika sebastian atakuwa huko"aliongea mad kick huku akipiga moto pikipiki.
Mad Lion na Mad Boy na wao pia walipiga moto pikipiki zao.
Ramso akiwa kwa mbali aliona zile pikipiki tatu zikilifuata gari la wagonjwa alipatwa na shaka kisha nayeye alichukua pikipiki yake na kuanza kufuatilia nyuma ya zile pikipiki za MonNyeusi.
Kwa bahati mbaya mfuasi mmoja wa monNyeusi aligundua kuwa kuna mtu anawafatilia.
"mnaona hiyo pikipiki nyuma mimi siielewi maana muda mwingi inatufatilia" aliongea mad Boy.
Hawakuzungumza cha ziada ila waliongeza speed ya pikipiki zao,na Ramso nae akaongeza speed ya pikipiki yake.
Ramso huku akiwa anaendesha pikipiki yake kwa speed aliingiza mkono kwenye mfuko wa shati lake kisha akatoa simu na kupiga kwa mkubwa wake.
"kuweni wa angalifu na huyo askari(Nikolasi) aliyejeruhiwa na risasi maana kuna watu wa tatu nimewaona wanafatilia gari ya wagonjwa iliyombeba nikolasi"aliongea Ramso kwa njia ya simu kisha akakata simu.
Wale wafuasi kipindi Ramso akiwa anawafatilia nyuma walifika njia ya Panda kisha walitawanyika kila mtu na barabara yake. Mmoja aliendelea kufuatilia nyuma gari la wagonjwa wengine wawili nao mmoja alienda kushoto mwengine kulia kwa makusudi ya kumchanganya Ramso.
Ila Ramso aliendelea kumfuata aliyekuwa anafuata gari la wagonjwa.
Baada ya muda kidogo wale wawili wakamzunguka Ramso na kutokea nyuma ya Ramso, na yule mmoja aliyekuwa mbele ya Ramso alisimamisha pikipiki kwa madoido na kumgeukia Ramso kisha akalenga shabaha zake kwenye Tairi la pikipiki ya Ramso, shabaha yake ilifanikiwa na kumuangusha Ramso,Ramso aliserereka mita amsini mbele na pale alipo kuweko mfuasi wa MonNyeusi aliekuwa mbele ya Ramso.
Ramso hali yake ilikuwa mbaya kwa kweli kisha wale wafuasi watatu wa MonNyeus walishuka kwenye pikipiki zao na kuanza kumsogelea Ramso Taratibu.
Kwa bahati nzuri na pia bahati mbaya kwa wale wafuasi wa MonNyeusi, Mkazi mmoja wa eneo hilo haraka akafuata simu yake ya mezani na kupiga simu Kituo Cha Polisi.
Ghafla ving'ora vya polisi vilisikika lakini wale wafuasi hawakuacha kumfuata Ramso.
Ramso alikuwa ameanguakiwa na makorokoro yaliyokuwepo eneo lile pikipiki yake ilipoishia kuserereka .
"polisi wanaakaribia eneo letu tufanyeni fasta kisha tuondoke" Mmoja kati ya wale wafusi aliongea kwa kuwasihi wenzake baada ya kuona ving'ora vya polisi vinalilia karibu sana na walipo wao.
Hawakupoteza muda wale wafuasi walipiga Risasi nyingi eneo lile alipokuwa Ramso. Kisha walipanda pikipiki zao na kuondoka.
******TUKIRUDI NYUMBANI KWA RAMSO********
ilikuwa ni saa kumi alifajiri "Ramso atakuwa ameenda wapi na mpaka sasa hajarudi"aliongea Jesi huku akiwa na wasiwasi.
Aliamua kuelekea Getini kumuuliza Mlinzi labda Ramso aliweza kumuaga.
"Dadaa Jesi mbona umeamka saa hizi?"aliuliza mlinzi wa Getini.
"embu acha maswali yako yasio kuwa na miguu wala kichwa embu nambie hivi Ramso wakati anatoka alikuaga?"aliongea jesi na kumuuliza mlinzi huyo.
"mmmh hakuweza kukuaga wewe waubani aniage mimi itakuwa maajabu"alijibu mlinzi.
Je akasema "sawa" kisha akaelekea kwenye ngazi ndogo ya kuingia ndani na akakaa kwenye ngazi hiyo na kushika kichwa huku akiwa ameinamisha kicha chake chini.
Itaendelea...................
Whatsapp Number +255624101615 Like my Page na Kisha share Tafadhali.


DEREVA TOYO 03


Dereva toyo
Mtunzi:Richard Yassin
Sehemu ya 03
Kwa hiyo aendelee kulala na asipate presha.Msichana huyu kwa kufuata maagizo aliendelea kulala katika mapaja yangu.Kwa muda huo nilipatwa na msisimko wa damu kwani kichwa chake alikiweka karibu na ikulu yangu na hapo taswira yake ilianza kujengeka ya yeye kunyonya koni yangu. Taratibu jembe lilianza kunyanyuka ingawa nilijaribu kuzuia ila nilishindwa.Hali hii ilipelekea yeye kunyanyuka na cha ajabu nilishangaa mrembo huyu akitabasamu na kisha kusema," Nimefurahi kujua kuwa wewe ni mwanaume haswaa kwani natamani kama ningepata mwanaume kama wewe maana mara nyingi napata tabu sana katika ndoa yangu sijapata muda wa kukuambia.Ila usijali mengi utayajua kwa kadri tutakavyozidi kuwasiliana." Kauli hiyo ilinipa nguvu ya kuweza kuibua mashambulizi ya kuzidi kumteka na kumfanya azidi kuwa karibu yangu.Hivyo nilimjiibu kwa ufupi kwamba asijali tutazidi kuwa karibu na nitampa raha kwa nguvu zangu zote. Raha iliyoje kumpata mwanakondoo aliyejileta katika machinjio pasipo kuitwa. Punde si punde konda alitangaza kituo cha Kongowe.Nilianza kuhisi upweke ingawa sikuwa nimezoeana naye.Dada huyo alinipatia namba ya simu na kisha kunyanyuka na kuondoka kwenda kuchukua mizigo yake na kushuka garini. Niliendelea na safari hadi mwisho ambako tulingia stendi kuu ya mabasi Ubungo ambako. Itaendelea!!!!

Friday, December 13, 2019

DEREVA TOYO 02


Dereva toyo Mtunzi:Richard Yassin Contact:0714137918 Sehemu ya 2 Hivyo nilipo ona amekwisha tulia barabara nilianza kuzichanga karata zangu ili niweze kuona angezipinduaje.Nachoshukuru ni kuwa tayari mlimbwende huyu sasa alikwisha anza kunielewa vema.Hivyo story zilinoga hadi tulipoingia maeneo ya Korogwe mahala ambapo tulipewa takribani dakika 10 kwa ajili ya kula.Siyo siri nilitamani mapaparazi wa ile kampuni ya ubashiri laiti kama wangelikuwepo wangepiga picha kwa ajili ya ukumbusho na kunogesha rasmi zoezi la upokeaji wa zawadi.Ila ndo hawakuwepo.Hivyo tuliposhuka katika gari kila mtu alishika kona yake katika banda analolipenda kwa ajili ya kupata chakula na kisha kurudi katika basi na safari kuendelea.Ila safari hii mambo yalikuwa ni moto haswaa kwani tulizidi kuzoeana kiasi cha hata kulishana kuku na nyama tulizokuwa tumebeba.Siyo siri kwangu ndo ilifika mahala pake kwani mara nyingi michezo kama hii niliipenda sana na hata kuvutiwa nayo.Nami sikuona aibu ya kumpa mahaba mazito ya mwambao wa pwani kwani mara nyingi watu hudharau na kusema ni mambo ya kizungu.Hatukujali macho ya watu kwani nilipokea chakula toka mdomoni kwake nami hakusita kupokea chakula toka mdomoni kwangu.Ili mradi mambo yalisogea mahala pake.Mara baada ya kumaliza kula,ilifika zamu ya soda ambako tulikuwa tukibadilishana mirija na kunyweshana soda zetu.Baadhi ya watu walitamani michezo yetu kwani mara nyingi kila kituko tulichofanya baadhi ya watu walikuwa wakipiga makofi ishara ya kuonyesha kwamba walifurahishwa nayo.Safari ya Dar es salaam ilikuwa mbali kwani mrembo huyu kutokana na shibe aliyokuwa nayo alipitiwa na usingizi nami kwa kuonyesha kumjali,nilimkumbatia na kuweka kichwa chake katika mapaja yangu ili alale vyema.Na kisha nikamfunika vizuri kama vile kuku anavyojali vifaranga wake pindi mvua inaponyesha au baridi inapopiga.Usingizi ulimpaa pale aliposikia konda anaita Chalinze."Oh! my God nimepitishwa.Kwani hapa ni wapi?"Alihoji dada huyo.Nilimuambia mahala tulipofikia.na kumuuliza kwani alihitaji kushuka wapi?"Ninashuka Kibaha kongowe."Alijibu mdada huyo nami nilimuahidi kumshtua pindi tutakapofika kituo chake.Kwa hiyo aendelee ku........Itaendelea!!!!

Wednesday, December 11, 2019

DEREVA TOYO 01




Dereva toyo Mtunzi:Richard Yassin Contact:0714137918 Sehemu ya 1 Kijiji kizima kilizizima mara baada ya kushinda mimi jackpot kubwa iliyokuwa ikichezeshwa na kampuni moja maarufu ya michezo ya kubahatisha ya jijini Dar es Salaam.Nilipigiwa simu usiku na nikaweka loud speaker ili kila mtu asikie na punde si punde taarifa zilizagaa katika kijiji chote kuwa nimekuwa milionea hivyo kelele za furaha zilitapakaa kijiji chote.Na mi kutokana na ushindi huo wa takribani mil.5 nilishukuru maulana kwani kwa muda mrefu nilikuwa sina kazi mara baada ya kupunguzwa kazi katika shule moja maarufu ya kanisa iliyopo wilaya ya Same.Ila mara tu baada ya kutangazwa kuwa ni mshindi walau miale ya mafanikio iliangaza tena katika maisha na kujiona kuwa ni mtu katika watu. Siku hiyo sikulala kwani mawazo ya kuwa na hela nyingi ilitawala usiku mzima.Hivyo niliweza kuisindikiza usiku kwa kuwa macho hadi asubuhi ilipopambazuka. Na palipokucha nilikwenda moja kwa moja hadi stendi ya Makanya nikitokea Tae mahala ambapo palikuwa ni kitovu kikuu cha safari ya kwenda mikoa jirani pamoja na nchi za nje.Hivyo nilipofika Makanya,nilipanda basi na taratibu safari ya kwenda katika jiji la Dar es Salaam ilianza. Njia nzima nilionekana ni mtu mwenye furaha tofauti na abiria wengine.Wengi wao walijawa na mashaka wengine walikuwa wamechoka hivyo nyuso zao zilijawa na hali ya kutochangamka. Tulipofika maeneo ya Hedaru alipanda mdada mmoja ambaye alikuja moja kwa moja hadi katika siti yangu.Nilifurahi sana kupata mrembo katika siti hiyo kwani nilijua kuwa watu wengi ni lazima watakuwa wanamtazama sana.Siyo siri mdada huyu aliumbika maana alikuwa na kichuguu mgongoni mwake,kifua saa sita na weupe. Hivyo uzuri wake ulimfanya awe kivutio cha utalii katika basi tangu alipoingia garini.Siyo siri hata mimi mapigo ya moyo yalirindima kutokana na uzuri wake. Hivyo nilipo ona amekwisha tulia barabara nami nilianza kuchanga karata zangu ili niweze ku....Itaendelea!!!

Sunday, December 8, 2019

TYPHIN 03

TYPHIN 03
‘Hadithi ya kale, inayoishi’
HUSSEIN O. MOLITO
0718 97 56 59/ 0765 68 4870
“Labda nikuelezee tu ilivyokua, nitasema kila kitu ninachokijua kuhusu mtu huyo.” Samira aliongea huku hofu iliyoanza kupotea, ikianza kupanda tena kwa mara nyingine.
“Nipo hapa kuku sikiliza, niambie ilikuaje..” Inspekta Salim akaongea, safari hii akakunja sura, alimaanisha muda wake wa kuwa kazini umefika.
Samira akameza fundo la mate ili aanze kuelezea mkasa mzima.
************
Ilikua mishale ya saa kumi na mbili asubuhi. Anga lilikasirika kwa kuonesha ndita zake. Weusi ukaleta ishara ya mvua huku ikihakikishiwa na manyunyu yaliyoanza kushuka kwa kudengua.
Samira akiwa kwenye gari yake ndogo, aliruhusu weypa ziaze kufanya kazi yake ili kioo kisitengeneze ukungu.
Akiwa anafanya mambo mmawili kwa wakati mmoja, yaani kuendesha gari huku akiwa anaongea na mtu kupitia simu yake ya mkononi, alifanikiwa kumuona mtu akiwa kando ya barabara akiwa uchi wa myama. Tena akitembea bila wasi wowote.
Kwakua mtu huyo analingana naye jinsia, hakutaka kumpita bila kumsitiri kwa mavazi. Akasimamisha gari ili apate kumuhoji, ikiwezekana ampatie baibui lake auondakane na udhalilishaji wa jinsia ya kike.
Kwakua alisimamisha gari mita kadhaa, ilimchukua sekude kadhaa kumsubiri mtu huyo aweze kumfikia.
Alimshuhudia binti huyo mdogo akiendelea na safari bila kuonesha kujali idadi ndogo ya watu waliokua wakimshangaa, akashuka na kujaribu kumsalimia.
“Mambo dada.” Samira alipaza sauti ambayo aliamini msichana huyo angemsikia.
Sauti yake kupea bila mtu huyo kuonesha ishara zozote za kujali, ilimpa tafsiri tofauti ubongoni mmwake. Alihisi huoenda binti huyo alikua na matatizo ya masikio. Akamfuata kwa kuongeza mwendo na kulingana naye.
“Mambo, nakusalimia.” Samira akarudia kwa sauti kubwa ili apate kuhakikisha kama binti huyo alikua na matatizo ya masikio kama alivyodhani awali.
Safari hii binti huyo alisimama na kuanza kumshangaa. Alilitazama baibui la Samira na kulinusa. Kwa Samira kikajengeka kitu kingine kwenye fikra zake. Sasa alihisi binti huyo alikua na matatizo ya akili.
“Unahitaji hii nguo?” Samira akauliza baada ya kumuona binti huyo akizidi kulivuta baibui lake. Binti huyo hakujibu, zaidi aliacha kulivuta baibui na kuushika mtandio wa Samira.
Kwakua palishaanza kupambazuka, magari kadhaa yaliyokua yanapita kwenye barabara hiyo, yalishusha vioo na kushuhudia tukio hilo la binti aliyekua utupu wa mavazi.
Samira akavua Baibui lake la gharama na kumvisha binti huyo. Cha ajabu bado alihitaji na mtandio.
“Mimi siwezi kutembea kichwa wazi... Twende nyumbani nikakupe mtandio mwengine, na viatu.” Samira aliongea na kumshika mkono binti huyo ambaye alikubali kumfuata huku akiendelea kuushangaa mtandio wa Samira wenye marembo.
Akamuingiza binti huyo kwenye gari, bado hata humo ndani alionekana kuwa mgeni wa kila kitu. Alishangaa siti za gari na kubonyeza vitu mbalimbali vilivyoweza kufikiwa na mkono wake.
Samira aliingia upande wa dereva na kuwasha gari.
“Vaa mkanda, kama mimi nilivyofanya.” Samira akaongea na kumfanya binti huyo naye avae mkanda vyema kabisa.
“Kumbe anaelewa, kipi kilichomsibu binti huyu mdogo?” Samira alijisemea mwenyewe kwenye moyo wake na kugeuza gari kurudi nyumbani.
Kwakua alihisi atachelewa kufika kazini, aliamua kutoa taarifa kwa mkuu wa kitengo.
“Habari Mr. Gibson.” Samira alisalimia baada ya simu kupokelewa.
“Salama, hofu yangu juu yako.” Sauti ya upande wa pili ikajibu.
“Nimekutana na kisanga huku njiani. Hivyo narudi nyumbani maramoja. Huenda nikachelewa kufika Maabara.” Samira akaongea na kumuangalia abiria wake ambaye alikua akiyashangaa manyoa yaliyokua kwenye dashboard ya gari hiyo.
“Sawa, ila ni muhimu sana kufika, kuna samaki ameoneka juu ya maji, amekufa. Ni wale Dragon fish. Sasa unaweza kuhisi tu ameuliwaje kutokana na kukaa kwake chini ya maji yenye kina kirefu?” Mtafiti akaongea na kumfanya Samira ashtuke baada ya kupewa taarifa hizo ngeni masikioni mwake.
“Kweli inahitajika utafiti wa kina. Nakuahidi kuwahi kufika kadri niwezavyo.” Samira akajibu na kukata simu.
Akaiweka simu yake kwenye eneo la kuwekea vitu mbalimbali vidogo. Binti aliyekua pembani yake akaiwahi simu hiyo na kuiweka sikioni.
“Kweli inahitajika utafiti wa kina. Nakuahidi kuwahi kufika kadri niwezavyo.” Akarudia kauli ya mwisho iliyotamkwa na Samira na kuigiza kukata simu. Kisha akirudisha pale ilipowekwa.
Tukio hilo likazidi kumshangaza Samira. Maana baada ya kufanya hivyo, binti huyo aliendelea kushangaa vitu mbalimbali alivyokua anaviona barabarani.
Baada ya kufika kwenye geti la kuingilia kwake, alipiga honi. Mlinzi wa nyumba anayoishi, alifungua geti na Samira akaingiza gari ndani yake.
Baada ya kuliegesha kwenye mfumo wa mtu aliyehitaji kurudi alipotoka, akazima gari.
“Nisubiri hapa, nakuja sasa hivi.” Samira akaongea na kushuka kwenye gari. Hata hivyo binti huyo akakaidi na kushuka.
Samira akashika kichwa na kuongoza ndani, binti huyo akamfuta.
Alikomea sebuleni baada ya kuona vitu vingi vigeni machoni mwake. Alichukua rimonti iliyokua sebuleni na kuibonyeza, Tv ikawaka na kumfana ashtuke sana.
Samira akaamua kumacha mgeni wake sebuleni na yeye akaelekea chumbani. Huko alibadilisha mtandio na kuvaa baibui lengine. Akachukua Suruali, fulana na viatu, kisha akatoka na mtandio sebuleni.
Alishangaa kumuona mgeni wake akiwa amemkamata samaki wa mapambo mkononi.
“Hapana, kama unanjaa nitakukaangia samaki mwengine. Huyo mbichi,mrudishe kwenye maji.” Samira aliongea, ila binti huyo hakumsikiliza. Akamuweka samaki huyo mdomoni na kummeza.
Ilikua ni ajabu sana kutokea, ila Samira alijionea mwenyewe vitimbwi hivyo.
Alipotupa macho yake kwenye Kwelamu la kufugia samaki, hakukua na samaki hata mmoja. Wote walishamezwa wakiwa wazima na binti huyo.
Licha ya ujasiri alionao kwa kufanya tafiti mbalimbali hasa kwenye maji ya kina kirefu, ila alianza kuingiwa na hofu juu ya kiumbe huyo aliyemkaribisha nyumbani kwake.
Aliamua kumpatia nguo avae. Alishangaa alipomuona anavaa juu ya baibui, akamuwahi.
“Sina nguo ya ndani amayo sikuivaa, ningekupatia. Ila kwa sasa anaza kuvaa hii suruali, kisha vaa hili fulana na baibui lije juu yake.” Samira akamuelekeza na kumsaidia vingine ili asimcheleweshe. akamtanda ushungi ule aliutamani wakiwa njiani.
“Twende.” Samira akaongea na binti huyo akachukua rimonti na kuzima tv.
Ujasiri wa kutawala kila kitu nyumbani kwa watu tena kwa mara ya kwanza, kulizidi kumfanya Samira akose kundi la kumuweka binti huyo.
Akaingia naye kwenye gari. Safari hii wala hakumuelekeza kufunga mkanda, alifunga mwenyewe na kutulia.
“Nikupeleke wapi?” Samira akauliza, binti hakujibu kitu chochote.
“Mimi naelekea kazini, hatuwezi kwenda wote huko.” Samira akaendelea kuongea peke yake, hakuna jibu alilpatiwa. Akaamua kuwasha gari na kuondoka eneo hilo.
Baada ya mwendo mrefu. Aliegesha gari yake kwenye kituo kimoja wapo cha daladala na kumuamuru msichana huyo ashuke. Alifungua pochi yake na kumpatia pesa.
Binti huyo hakuzipokea pesa hizo, alifungua mkanda na kutoka.
Samira hakutaka kumlazimisha wala kumfuatilia tena, zaidi ya kuondoa gari eneo hilo na kuondoka.
Alifka Maabara binafsi ya Mtafiti anayeaminiwa na serikali. Alimuona Mr. Gibson akiwa bize akiendelea kumchunguza Samaki huyo aina ya Dragon.
“Afadhali umekuja, hebu angalia hii mikwaruzo mfano wa kucha, unahisi ni samaki gani aliyemdhuru huyu Dragon?” Mtafiti Gibson akamdaka Samira baada tu ya kuwasili.
Samira naye akaingia kazini moja kwa moja na kuanza uchunguzi.
“Ni ajabu sana, bila shaka kwenye ukanda wetu kuna samaki ambaye bado dunia haijamtambua. Yatupasa tumfanyie utafiti ili tuweze kumgundua.” Samira akachangia mada na kumfanya Mtafiti Gibson atabasamu.
Muda huohuo akafika mtumishi wa serikali aliyevalia nguo za kijeshi.
“Mr Faridi, kitambo sana sijakuona.” Mtafiti akamlaki mgeni wake na kumuacha Samira kwenye meza yao ya utafiti. Wakatoka kidogo na kwenda kukaa eneo lenye makochi.
“Ndugu yangu nimekuja kukupa taarifa nyeti. Kuna tatizo baharini, mpaka sasa samaki kumi na tano aina ya Dragon wamepatikana wakiwa hawana uhai. Japo kwa sasa nimeachana na maswala ya utafiti, yakupasa ufaye jitihada za haraka ili tuweze kujua kuna kiumbe gani baharini mwenye uwezo wa kuwadhuru hawa samaki. Hata kujua ana ukubwa kiasi gani na kama ana madhara kwa binaadamu ili tuweze kuchukua hatua stahiki.” Mr. Faridi akatoa maelezo yake na kumfanya Mtafiti Gibson akune kichwa.
“Hata sisi tumempata mmoja alfajiri hii, bila shaka leo hii nitawasha boti na kuelekea baharini. Kweli kabisa, sitakiwi kulaza damu kwenye hili.” Mtafiti Gibson akaongea na kushikana mikono na mtumishi huyo wa serikali aliyenyanyuka tayari kwa kuondoka.
“Nategemea majibu mazuri kutka kwenye utafiti wako Mr. Gibson.” Mr Faridi akaongea maneno hayo na kuondoka.
Mtafiti Gibson akarudi kwenye meza ya uchunguzi.
“Naenda kwenye maji leo hii, usimpe taarifa hizi mke wangu hata kama akihitaji kujua ni wapi niendapo.” Mr. Gibson akaongea na kumfanya Samira ashangae. Maana mara zote hua wanaenda kufanya tafiti mbalimbali majini wakiwa wote watatu.
“Usiniambie unataka kwenda kufanya utafiti huu peke yako?” Samira akaongea.
“Bila shaka kwenye maji kuna vita. Haihitaji Mtafiti tu wa kawaida kwenda kumchunguza kiumbe aliyeyafanya haya, hivyo sihitaji watu wengine mpate matatizo.” Mr. Gibson akaongea hayo na kumkazia macho Samira.
“Na mimi naenda!”
Ilisikika sauti ya binti alliyeingia ghafla na kumfanya Gibson ashike kichwa. Akamfuata msichana huyo na kumkumbatia.
“Daring, unahitajika kubaki hapa na Samira, acha mimi niende. Nahisi kuna kiumbe wa ajabu na si samaki kama serikali inavyozania.” Mr Gibson akaongea kwa kunong’oneza ili Samira asisikie.
“Nadhani unatambua uwezo wangu. Hapa wakubaki ni Samira, maana ndo hana uwezo wa kupambana.” Mke wa Mtafiti Gibson akashikilia uamuzi wake wa kuongozana na mume wake baharini.
“Naelewa mke wangu, ila ungenipa nafasi ya kunisikiliza ingekua vyema sana. Nahisi hiko kiumbe kinaweza kuwa hatari zaidi ya papa.” Mr. Gibson akaongea huku akionekana kumuonea huruma mke wake.
“Ni mwanamke gani mwenye upendo wa dhati, ambaye anajua mume wake anaenda kwenye hatari na akamuachia? Kunizuia mimi nisiende, ni wazi unahitaji hiyo safari ife. Chagua moja, usiende kwenye maji au twende wote!” Mke wa Mr. Gibson akaongea huku akilegeza macho yake baada ya kukutanisha na mume wake.
“Kwa umuhimu wa hizi tafiti, siwezi kughairi mke wangu.”
“Basi jibu jepesi, tunaenda wote.”
Mke wa Mtafiti akaongea hayo na kumfanya Mr. Gibson kukosa pakutokea.
Wakarudi kwenye meza ya utafiti na kumuachia Samira majukumu ya Maabara hayo na wao wakaanza safari.
Safari ambayo imeleta madhara makubwa. Mr Gibson akasaidiwa akiwa taabani huku mke wake kipenzi akipotelea majini.
Kipi kitaendelea kwenye kisa hiki cha kusisimua?
TYPHIN, Hadithi ya kale, inayoishi.
Kumbuka Unaupata uhondo huu kwa mfumo wa sauti huko Youtube. Ukiandika TYPHIN tu, unaletewa mfululizo wa simulizi hii. Au andika jina la Channel yangu huko Youtube ili upate kusikiliza na kuona kazi zangu mbalimbali. Jina la Channel hiyo ni MOLITO BRAND
Au bonyeza link hii ya blue, itakupeleka moja kwa moja
https://www.youtube.com/watch?v=HWk1-Bltj4U
Karibuni Sana!

TYPHIN 02

TYPHIN 02
‘Hadithi ya kale, inayoishi’
HUSSEIN O. MOLITO
0718 97 56 59/ 0765 68 4870
Askari mwengine akatoa kauli hiyo. Sura zao zilionesha kuwa na ghadhabu kiasi cha kumnyima uhuru hata wa kuuliza kosa lake. Akakubali kwa kichwa na kuingia ndani.
Mwili mzima ulimtetema, hata yale madaha yake ya utembeaji yakapotea. Nusura taulo limdondoke na kumpa burudani ya macho mlinzi aliyekua akimshuhudia akiwa anatembea kama anasukumwa. Hakika tukio la kufuatwa na polisi mpaka nyumbani lilikua geni kwake. Aliwazoea wale wa usalama barabarani,ila sio hao waliokua na bunduki mikononi.
Baada ya kulifikia kabati lake, hakutaka kuchagua nguo tena, alivuta suruali na kuvaa fulana iliyokua mbele yake. Hakujali kama ilikua imejikunja sana, alichukua Kimomo na kuvaa juu yake. Akajitanda ushungi kisha kutoka mpaka sebuleni. Akakumbuka kua aliacha kitu muhimu sana chumbani, Simu. Aliirejea na kuamua kumpigia simu mama yake.
Simu iliita mara kadhaa bila kupokelewa, aliingiwa na hofu baada ya kuhisi huenda alikua akitumia muda mrefu na kuwakasirisha wale askari wenye ghadhabu.
“Mama pokea!”
Akajisema huku akipiga miguu yake kwenye Marumaru. Simu ikaita mpaka ikakata, lakini mama yake hakupokea.
Akaamua kumpigia baba ake, simu ikaita mara moja tu, kisha mara ya pili ikapokelewa. Sauti ikiwa nzito, Iliashiria kuelemewa na usingizi.
“Asalaam alekum.” Akakumbuka kusalimia baada tu ya simu kupokelewa.
“Aleykum salaam, mbona simu muda huu? Kwema?” Baba yake akauliza maswali mfululizo. Maana si kawaida ya binti yao kuwapigia simu nyakati hizo. Hasa ukilinganisha na siku yenyewe, mwisho wa waki.
“Hakuna usalama baba.”
Sauti ya Samira iliweza kusadifu kile alichozungumza. Mshtuko wa baba baada ya kuambiwa kuwa hakuna usalama, uliweza kumshtua mama yake aliyekua amelala fofofo, huku mkono pekee uliokua unashirikiana na mume wake baada ya kumuwekea kifuani, ukiwa umetolewa kwa nguvu na kuwa sababu ya kuamka kwake.
“Umevamiwa na majambazi?” Baba akauliza kwa hamaki.
“Hapana baba, Askari wapo nje, wamesema wananihitaji kituoni.” Samira akaelezea kinachomtia wasiwasi.
“Umefanya kosa gani binti yangu?” Baba akauliza huku akimfanya mke wake atamani kujua alikua anaongea na mtoto wao yupi. Maana walikua na mabinti wawili waliokua wakiishi mbali nao.
“Nani aliyekupigia simu, Samira au Rabia?” Mama akahamaki.
“Subiri mke wangu nimsikilize kwanza mtoto, kisha nitakushirikisha.”
Baba akaelezea, lakini maneno hayo hayakutosha kumtuliza Bi Mariam. Akamnyang’anya simu mume wake na kuuliza swali bila kujua ni mtoto yupi aliyekua anayeongea naye.
“Yamekufika madhila yapi binti yangu jamani?”
“Askari wamenifuata mpaka nyumbani, sijafanya kosa lolote miye. Ila wamesema niende kituoni.” Samira akaelezea na kumfanya mama yake amtambue kwa sauti.
“Mpigie simu Samira na umuelekeze kituo unachopelekwa. Siye tunajiandaa, tunakuja sasa hivi. Ila usiwe mbishi tu kwa askari, watakuumiza bure kwa mabavu yao.” mama akatoa angalizo na Samira akakata simu. Ndipo alipoamua kumpigia dada yake.
“Dada nimekamatwa na polisi, hivyo nikifika kituoni nitakujulisha nimepekwa kituo gani. Jiandae kabisa.” Samira akatoa taarifa kwa dada yake baada ya kupokea simu. Hakumpa nafasi ya kuhoji, akakata simu na kutoka nje.
Akafunga mlango wake na kwenda kwenye gari ndogo ya askari Bila shuruti.
********
Madaktari waliokua kwenye chumba cha upasuaji, waliendelea kumshona Mtafiti Gibson baada ya kumpiga nusu kaputi.
“Kwa uzoefu wako Dokta Miley, huyu Mtafiti atakua amekumbwa na dhoruba gani?” Daktari mmoja akauliza wakati wakiendelea kukabiliana na majeraha makubwa ya mgonjwa.
“Ni ajabu sana kutokea, hizi ni alama za kucha mfano wa kucha za simba. Sasa baharini hakuna Samaki Mwenye kucha za aina hii. Bila shaka amekumbana na kitu tofauti sana ambacho ni yeye pekee ndoa anakijua.” Daktari akajibu na kuwafanya dakatri wenzake waangaliane.
“Au ameshambuliwa na nguva?” Daktari mmoja akaropoka na kuwafanya wenzake wacheke.
“Hebu Kelvin kuwa serious kidogo ninapouliza maswala ya msingi.” Daktari wa awali akaongea baada ya kicheko kupita.
“Kwani hadithi za nguva bado zipo mpaka sasa?” Dokta Miley akauliza.
“Ni haithi ya kale, ila wapo waliosema viumbe hao walishawahi kuishi miaka dahri iliyopita.” Dokta Kelvin akatetea hoja yake.
“Ndo wapo vile kama tunavyoona kwenye michoro, juu wanawake chini samaki?” Dokta Miley akauliza na kuonekana kuvutiwa na habari hizo za nguva.
“Mimi ninachoamini wapo jinsia zote mbili. Ila wachoraji wanapenda kuwachora wanawake ndo maana huakisi mfano wao. Pia sidhani kama ni warembo kama wanavochorwa pia.” Dokta Kelvin akajitahidi kudadavua.
“Tuendeleeni na kazi, ila sidhani kama viumbe hao walishawahi kuwepo. Ni hadithi kama hadithi zingine za kutunga. Ila itabidi na sisi tukafanye uchunguzi wa kina juu ya huyo kiumbe hatari wa baharini. Maana wananchi wakijua wataingiwa woga hata wa kwenda kuvua samaki.” Dokta Miley akaongea na wenzake wakabaki wanamuangalia.
Juhudi za kuokoa maisha ya mtafiti huyo zikaendelea, mashine zilizokua zinaleta tafsiri ya uhai wa mtu huyo ziliendelea kuwapa faraja.
Baada ya shughuli hiyo iliyochukua takaribani masaa manne, walimaliza salama na kutoka nje ya chumba hicho.
“Dokta Miley, kama unaondoka muda huu. Naomba unipe lift kaka. Leo gari yangu imesumbua. hivyo nimeiacha.”Dokta Kelvin aliongea hayo baada ya kumuwahi Dokta Miley alipokua anatoka nje ya jengo hilo.
“Naelekea Maabara, nahitaji kuchunguza kile kimiminika kilikua kinahusiana na nini… maana inaonekana ni tafiti muhimu sana.” Dokta Miley akaongea na kumfanya mwenzake ashangae.
“Lakini Dokta, tumeambiwa tumtunzie hadi pale atakapoamka. Maana ni yeye ndo anajua umuhimu wa hizi tafiti.” Dokta Kelvin akaongea, na kumfanya Dokta Miley ameangalie kwa ghadhabu.
“Asipoamka? Ukumbuke tukio lililompata si lakawaida. Yatupasa tufanye uchunguzi wa haraka ili tujue chanzo cha ajali yake. Na kama kuna viumbe wa ajabu, basi watu wakatazwe kutumia bahari mpaka pale ufumbuzi utakapopatikana.” Dokta Miley akaongea hayo na kuondoka. Akamuacha mwenzake akiwa anamshangaa tu.
*********
Nusu saa baadae baada ya Rabia kupigiwa simu, akafika kituoni ili kusikiliza kesi inayomkabili mdogo wake.
“Kwa sasa yupo chumba cha mahojiano. We kamsubiri nje.” Rabia alipewa maelekezo hayo na kuamua kutii.
Huko ndani, Samira alikua kwenye chumba cha mahojiano. Askari mmoja aliyevaa mavazi ya kiraia, akafika na kukaa kwenye kiti cha mbele yake.
“Habari binti.”
“salama tu, Shikamoo.” Samira alisalimia huku akitweta.
“Punguza Presha binti, huna kosa lolote, ila kuna vitu muhimu tunahitaji kujua kutoka kwako ili utusaidie kwenye upelelezi wetu. Kuwa na amani.” Askari huyo aliyekua akitumia lugha laini, kidogo aliweza kushawishi fikra za Samira kuamini kuwa anaweza kuwa huru hivi karibuni.
“Naitwa Inspekta Salim, sijui mwenzangu unaitwa nani?” askari huyo akajitambulisha na kuwasha peni yake ambayo ilikua na uwezo wa kurekodi.
“Naitwa Samira, Samira Mohammed.” utambulisho wa binti huyo, ulidhihirisha hofu aliyonayo.
“Samira, mbona najitahidi kukufanya usiniogope ili tuweze kulifanya hili jambo kirafiki? Au kuna kitu kinakutisha humu ndani tukipunguze?” Inspekta akauliza.
Samira akakanusha kwa kutikisa kichwa. Inspekta akachukua simu yake na kumuonesha Samira picha fulani, Akashtuka.
“kwa mshtuko wako, bila shaka unamfahamu. Niambie yupo wapi kwa sasa?” Inspekta akauliza na kurudi kwene kiti chake. Samira akaichukua simu hiyo na kuendelea kuitazama picha ya mtu anayetafutwa.
“Mimi… Mimi nilikua naye jana tu. Hata jina lake silijui.” Samira akaongea na kumrudishia Inspekta Salim simu yake.
“Inasemekana jana mlikua wote siku nzima. Mkaenda mpaka kwenye maduka ya nguo, inakuwaje useme hufahamiani naye? Binti, kuficha kwako muhalifu, kutakufanya uanze kupazoea humu ndani, maana hutorudi nyumbani kama hutosema ukweli.” Inspektaa Salim akaongea na kukaza sauti kidogo.
“Labda nikuelezee tu ilivyokua, nitasema kila kitu ninachokijua kuhusu mtu huyo.” Samira aliongea huku hofu iliyoanza kupotea, ikianza kupanda tena kwa mara nyingine.
“Nipo hapa kuku sikiliza, niambie ilikuaje..” Inspekta Salim akaongea, safari hii akakunja sura, alimaanisha muda wake wa kuwa kazini umefika.
Samira akameza fundo la mate ili aanze kuelezea mkasa mzima.
Huyo mtu ni nani? Ana kesi gani? Je maelezo ya Samira yanaweza kumtoa kwenye hatia, au ni janja tu ya Inspekta Salim? Vipi kuhusu Daktari Miley kuchukua maamuzi mkononi kutafiti kimiminika cha Mtafiti Gibson bila ridhaa yake?
Tukutane siku ya JUMAPILI katika kisa hiki cha kusisimua.
Kumbuka, Riwaya hii inapatikana katika mfumo wa sauti pia. Nenda Youtube kisha search MOLITO BRAND, Au bonyeza link ya Blue, itakupeleka moja kwa moja Youtube kwenye sehemu ya kwanza ya Simulizi hii
https://www.youtube.com/watch?v=HWk1-Bltj4U

TYPHIN 01

TYPHIN
‘Hadithi ya kale, inayoishi’
HUSSEIN O. MOLITO
0718 97 56 59/ 0765 68 4870
Mipana midomoye; imeloa, Lakudondoka jichole; hata akikodoa, mwendowe wa staha ulimpa shahada za kuhitimu mkole; mikogoye ilikua shule tosha kwa mafunzo ya kale, yastara mavazi yake; aibu siha yake.
Kiufupi ni binti wa kutolewa mfano pindi watu wakaapo kijiwe nongwa kusifia uumbaji wa Mola.
Hakika!
Wanaume hua tunasehemu zetu maalumu za kuangalia pindi tuyaelekezapo macho yetu kwa mabinti, ilichukua idadi ya wanaume kadhaa kutazama umbo la binti huyo kila akitzapo mahala. Ulimbo wa umbo lake, uliweza kuwafanya wanaume wakware kumtazama kuanzia utosini mpaka kwenye eneo la kiuno chake. Macho ya wengi yaliishia kutamtazama juu tu bila kung`amua kitu nadra kuonekana kwa binti mzuri kama huyo.
Licha ya kupendeza kwa baibui nadhifu, ushungi ulitupwa mabegani kiustadi baada ya kuzunguka kichwa na kuacha sura pekee ionekane. Hapo ndipo palipokua pumbazo kwa wanaume wengi pindi walipogandisha macho yao kwenye wajihi wa binti huyo. Licha ya weupe wake, upekee wa mboni zake uliwafanya wanaume wakware wazubae hata wasifahamu kua binti huyo alikua peku.
Naam!
Alikua akipekua mfano wa bata ama kuku atembeavyo, hakuonekana kujali tukio hilo la kustaajabisha kiasi hasa kwa binti mzuri kama yeye.
Kuinamisha kwake kichwa chini mfano wa binti mwenye aibu kila mara, hakukuweza kumtetea kwa udhaifu wake wa kutooona umuhimu wa viatu.
Nani angemsimamisha na kumuuliza kwanini alikua akipekua?
swali lilibaki uvunguni mwa moyo kwa waliomtaza. Ilikuwaje akakosa viatu ilihali baibui alilovaa ni la gharama sana? Kama aliacha viatu kwa fundi, ilikuwaje hata hajaomba viatu vya ziada au kusuiri mpaka viatu vyake vifanyiwe ukarabati?
Kila aliyegundua hali ya msichana huyo miguuni, alimeza tu fundo la mate kulibakisha swali lake ndani huku macho yakiendelea kupata ladha ya tukio hilo geni kutokea hasa kwa wasichana mrembo.
Mwendo wa binti huyo ulikomea kwenye kituo cha basi na kukaa hapo. Illimchukua muda mrefu sana bila kupanda basi lolote. Ndipo kijana mmoja aliyekua akimtazama kwa mudamrefu, alipoamua kuthubutu kumsogelea.
“Mambo dada.” Sauti iiyosikika vyema kwenye ngoma za masikio ya binti huyo, ilimfanya amuangalie kwa muda bila kumjibu kitu chochote.
“kama una tatizo niambie, naweza kukusaidia.” Kijana huyo akaongea tena na kujilazimisha kutabasamu.
Binti huyo hakujibu kitu chochote, alinyanyuka na kuanza kuvuka barabara.
Kiichomshangaza , ni vile msichana huyo hakua anajali magari wala kuangalia yanapotokea.
Kuna gari ilifika na kumpigia breki miguuni. Ilimgusa kidogo kutokana na mwendo kasi wa chombo hicho cha moto.
Mshangao!
binti hyo hakuanguka chini wala kutikisika.
Ilikua ni ajabu na kweli kwa kile walichokua wanakishuhudia muda huo. Binti huo akawaangalia tu na kuendelea na safari yake.
Dereva akashuka na kutazama gari yake, wakati huo yue kijana wa awali naye alikua ameungana na wahanga hao katika kutazama gari hiyo.
Laa haulaa!
Kuanzia ngao mpaka bodi ya gari, vyote vilikua vimebonyea. Mshangao mkubwa ukawapata na kuwafanya wasiamini macho yako kwa muda.
“yule msichana si binaadamu, yaani utafikiri tumegongana na gari?” dereva alipaza sauti baada ya kuona maajabu mapya ya dunia. Jambo lililomfanya mpaka mke wake apigwe na bimbuwazi.
“amefanyaje kwani?” mke wake akauliza huku akishuka kutoka kwenye gari. Kibegi chake mfano wa kipima joto kikiwa kwapani na kuungana na mume wake kwenye mashangao huo.
“Tupige simu polisi, hili tukio hakuna ambaye ataweza kuamini kama hajalishuhudia kwa macho yake.” mwanamke huyo akaongea huku akitoa simu kwenye pochi hiyo na kuanza kupiga picha eneo la gari lililopata athari.
*************
Upepo wa kusi uliombatana na mvua kali, ulihesabika kama chanzo kikuu cha ajali mbaya ya boti ya watafiti iliyotokea wakati allipokua baharini wakiendelea na tafiti zao.
Ishara ya Baruti nyekundu iliyoonekana kwa mbali, iliweza kuwafahamisha askari maji kuwa kuna tatizo eneo fulani, hivyo boti za askari hao wa majini zilifika eneo husika.
Kwa msaada wa Helkopta, walifanikiwa kukiona chombo cha Mtafiti wa wanyama wa baharini, Mr. Gibson kikiwa kinaanza kuzama baada ya maji kuingia ndani na kukishinda uwezo wakuhimili.
Juhudi za kukizuia chombo hicho kisizame, zilifanyika kwa umakini mkubwa. Maana moja ya meli zilizofika eneo hilo, ilikua na uwezo mkubwa wa kuvuta vitu vizito. Hivyo waliwahi kuifunga minyororo na kufanikiwa kuipandisha juu kwa mara nyingine.
Kikosi maji kiliafikana kufanya ukaguzi ndani ya boti hiyo. Hawakuweza kumuona binaadamu yeyote ndani yake zaidi ya samaki kadhaa na na vifaa vya Maabara kwa ajili ya kufanya uchunguzi.
Wapiga mbizi walijitosa baharini bila woga kwenye maji hayo ya kina kirefu, wakiwa na tochi zao maalumu zilizoweza kumulika chini ya maji.
“Msaa…”
Ikasikika sauti ya mtu; sauti ambayo haikumalizia ni kipi alichohitaji kusema.
Sauti iiyosikika mita kadhaa kutoka walipo. Wataalamu hao wa kuyakata maji, wakazamia na kuelekea huko walipoisikia sauti hiyo.
Waliweza kumuona Mtafiti Gibson akiwa ameanza kuruhusu maji kuingia kinywani huku akitapatapa. Mtungi wa gesi aliouvaa haukuwepo tena mgongoni, Hakuweza kuendelea kuhimili, akapoteza fahamu kaba ya msaada kumfikia.
Wakamuwahi na kumtoa ndani ya maji. Wakampandisha kwenye boti yao na kuanza kumpatia huduma ya kwanza.
Taa zilizopo kwenye boti hiyo, ziliweza kuwaonesha majeraha makubwa aliyoyapata mtafiti huyo. Mbali na kutokua na fahamu, ila mwili waake ulionekana kujaa majeraha makubwa kupita kiasi.
“Tunaomba msaada wa Helkopta haraka iwezekanavyo ili kumuwahisha mgonjwa hospitalini. Hali yake ni mbaya sana.” Askari mmoja akafanya mawasiliano.
Helkopta iliyofanikia kuiona boti hiyo, ikafika na kumchukua mgonjwa haraka ili kuwahi kuokoa maisha yake.
Mbali na kuyapigania maisha yake alipokua kwenye maji kiasi cha kupoteza fahamu, ila mkono wake wa kushoto ulionekana umekunja ngumi kama ishara ya kung’ang’ania kitu fulani. Waliufungua, ndipo walipoweza kuona kifaa kidogo kilichokua na ncha mfano wa sindano. Huku ndani yake kukiwa na kimiminika ambacho hawakueza kukifahamu ni kipimo cha kitu gani.
“huenda ni tafiti zake muhimu alizofanikiwa kuzipata baada ya kuhatarisha maisha yake. Jitahidi kumtunzia.” mmoja wa askari aliyekua kwenye helkopta, alitoa wazo baada ya kuchukua kichupa hicho.
Safari ya kuelekea hospitali, ikafanikiwa. Gibson akawahishwa kwenye wodi ya wagonjwa mahututi.
Hakuna aliyefahamu kipi kilichomsibu pindi alipokua baharini. Ila majeraha yaliyokua mwillini mwake yaliweza kuwafanya wahisi alishambuliwa na papa mkubwa pindi alipokua kwenye tafiti zake.
*******
SIKU MOJA KABLA:
Jogoo mwenye hila, alibetua midomo yake na kuruhusu sauti yake iende mbali. Hakujali ni misho wa wiki, watu wengi walihitaji kuvuta shuka na kuendelea kuukung’uta usingizi vile wawezavyo.
Bado haitoshi, aliendelea kurudia kuwika mara kadhaa kama vile aliajiriwa au alfajiri iliumbwa kwa ajili yake ili awike. Tena karibu na dirisha la mtu asiyemfuga wala kumpa chakula pindi awapo na njaa.
Sauti hiyo ilimkera Samira, akanyanuka kivivu huku misonyo kadhaa ikimtoka. Akaichukua simu yake na kuangalia saa, hata hakukumbuka kuwa mbele ya ukuta wa kitanda chake kulikua na saa kubwa tu tena yenye urembo wa kuvutia.
Majira yakasadifu ukweli wa muonekano wa anga, Ilikua saa kumi na moja na nusu.
Licha ya chumba chake kuwa na kiwambo cha upepo baridi, feni la kawaida pia lilikuwepo. Lakini Samira alipenda kupata upepo mwanana wa angani hasa nyakati za usiku mkubwa. Hivyo hufungua dirisha la kioo na kuacha wavu uliosukwa kiustadi kupenyeza upepo mwanana wa anga la Muumba wetu.
Alifahamu kero hiyo ingekoma iwapo tu angefunga dirisha, maana lilikua na uzito ambao sauti ya jogoo isingeweza kupita kwa ukali kiasi hicho.
Akafunga huku akilaani sauti ya jogoo huyo aliyeukatisha usningizi mnono wenye ndoto za kupambaza akili.
Akarudia kujifunika shuka. Wapi! Usingizi ulishaenda zake.
Ilimchukua dakika kumi na tano kujigeuza kitandani bila kupata mrejesho wa maombi yake ya usingizi kwa awamu nyingine.
Akanyanyuka kwa hasira na kuelekea jikoni. Alipasha mikate kwenye kipashio cha umeme na kukaanga mayai matatu. Akachukua maziwa kwenye friji na kuyapasha kwenye birika dogo ya umeme.
Kwa kawaida Samira hupenda kupata kifungua kinywa cha vipande viwili vya mkate na mayai huku akishushia na maziwa kila aamkapo.
Maana huamini ndo humuondoa uvivu wa kwenda kazini kutokana na shughuli za kuandaa chakula hicho cha asubuhi.
Mara zote huandaa vitu hivyo akiwa na nguo ya ndani pekee. Maziwa yake madogo yalimfanya avae sidiria kama ushahidi tu ama urembo. Ila kwa stamala yake, yanaweza kusimama yenyewe tu.
Baada ya kupata kifungua kinywa ambacho hakikua kwenye ratiba ya siku hiyo, akaenda tena chumbani na kuelekea bafuni. Huko aliwasha kifaa cha kupasha maji moto kwenye jakuzi kisha na yeye kujitumbukiza ndani yake baada ya maji kufikia joto alilolihitaji.
Aliwasha radio yake iliyokua na flash, humo alipanga nyimbo kadhaa ambazo hupenda kuzisikiliza na kuzifuatisha awapo bafuni. Akapata burudani ya miziki huku akicheza na mapovu mengi aliyayotengeneza kwa machanganyiko wa sabuni mbalimbali za kunukia.
Baada ya kuitumia nguo yake ya ndani kama sumba la kuondolea uchafu mwilini mwake, aliifikicha na kuianika.
Akaliendea taulo na kujifuta vizuri huku akijichungulia kwenye kioo kama ana ugeni vile na maungo ya mwili wake.
Alijibenua kidogo ili aangalie uumbaji wa mola upande wake wa mgongoni, akatabasamu baada ya kuona mlima mdogo ambao ulimsaidia kumtofautisha na mwanaume.
Akatabasamu na kutoka chumbani.
“Niende maabara kweli? Ama nibaki tu nyumbani?” alijiuliza baada ya kufungua tu kabati la nguo zake.
Wakati anajishauri, kengele ya malango wake ikaita kwa ghadhabu. Akaghairisha zoezi la kutafuta nguo, akaamua kuliokota taulo lake kwa mara nyingine na kupiga hatua kadhaa kuuelekea mlango.
Alipofungua mlango wa kutokea barazani, alikutana an sura ya mlinzi wa nyumba hiyo.
“Kuna askari wapo nje, wamesema wanashida na wewe.”
Kauli hiyo ilimshtua sana Samira. Akaamua kutoka hivyo alivyo mpaka nje.
Kweli, alikutana na Gari ndogo ya askari huku wanaume wawili wamakamo waliova sare, wakiwa mlangoni.
“Bila shaka wewe ndo Samira Mohammed!” Askari mmoja wapo akauliza.
Huku moyo ukimdunda, alikubali.
“Kajiandae uongozane na sisi kituoni.”
Askari mwengine akatoa kauli hiyo. Sura zao zilionesha kuwa na ghadhabu kiasi cha kumnyima uhuru hata wa kuuliza kosa lake. Akakubali kwa kichwa na kuingia ndani.
Mwili mzima ulimtetema, hata yale madaha yake ya utembeaji yakapotea. Nusura taulo limdondoke na kumpa burudani ya macho mlinzi aliyekua akimshuhudia akiwa anatembea kama anasukumwa. Hakika tukio la kufuatwa na polisi mpaka nyumbani lilikua geni kwake. Aliwazoe wale wa usalama barabarani,ila sio hao waliokua na bunduki mikononi.
Amefanya nini tena huyu mrembo, vipi kuhusiana na kiumbe wa mwanzo,mtembea peku? Mtafiti atapona? Yapi aliyomsibu baharini?
Unaweza kuifuatilia riwaya hii kwa mfumo wa sauti murua ya Molito huko Youtube kwa ku search akaunti yake, Molito Brand.
Au kwa kubonyeza link a blue hapo chini
https://www.youtube.com/watch?v=HWk1-Bltj4U
Riwaya hii itakua inaruka mara tatu kwa wiki. JUMATANO, IJUMAA NA JUMAPILI…
Karibuni!

PAKUA APP YETU

Kwa wale wapenzi wa Mziki Mzuri,filamu nzuri na Hadithi nzuri kutoka kwa waandishi mbalimbali, blog yetu ya Burudani, Tunapenda Kuwataarifu kuwa:

> Kama Hautumii App Basi tunakuomba PAKUA APP YETU MPYA HAPA Ili uweze Kupakua Nyimbo Mpya kirahisi
> Pia Utapata Taarifa kila wimbo Mpya unapotufikia.

PAKUA APP YETU MPYA HAPA
BONYEZA HAPA>http://www.mediafire.com/file/qtoi8pn4bj4dqct/Cleverwebtz.apk/file

Official android App for www.cleverwebtz.blogspot.com

This application is developed with the following key features:
• Listening Music online with latest collection of tracks
• Download Music for listening offline
• Read story from different author
•watch movies online and download
• Listen to Music and do other things with a convenient way with playing background modes, customizable through the Notification bar (notification).

PAKUA APP YETU MPYA HAPA
BONYEZA HAPA>http://www.mediafire.com/file/qtoi8pn4bj4dqct/Cleverwebtz.apk/file

Last Updates

DEREVA TOYO 14